Bado sijashiba kusikiliza huyu wimbo kbsaaa,,kama is the same na wew gonga like
@hervekevinmazameza78764 жыл бұрын
Nani yupo hapa 2021, one of my fav love songs 💗💯✌
@malkiafuraha96943 жыл бұрын
2019 kuelekea 2020 mpo
@markrichard28054 жыл бұрын
Riyama alikuwa video vixen wa q chiller wow
@nancypretty75765 жыл бұрын
Inasikirizwa kutoka oman now 2021 🔥🔥❤❤❤ old is gold
@mohamedjimia35353 жыл бұрын
Naisikilza mara nyingi lakini leo ndo nimejua kama video queen wa hii nyimbo alkiuwa Riyama😂...who else?
@touchingbillionhearts7615 жыл бұрын
Hahaha 😂 😂🤣🤣😂 kweli
@aksantedeborah79135 жыл бұрын
Kam mimi
@Alegria_doPovo5 жыл бұрын
Wewe km mm
@vagrant_tz4 жыл бұрын
😅😅
@jA-ox7vz4 жыл бұрын
🙀🙀🤣🤣🤣🤣🤣
@gloriousn64254 жыл бұрын
Good music not just music here is where good music lives💪✊🙏
@user-jv8kn5yc4f9 ай бұрын
Wakati bado kuna mziki mzuri dah 😘😘😘😘😘
@grace1992ify2 жыл бұрын
wallah song zazamani zilikuwa nzuri sana na enjoy ila sasa ni fujo tu
@zenabsadik96916 жыл бұрын
Zenab Sadik 😂😂😂😂😂
@shekhekhandereizer5596 жыл бұрын
Zenab Sadik siku hizi ubisho
@Rama_Mwaguya-254.6 жыл бұрын
Zenab Sadik kwel
@awadhally81065 жыл бұрын
Who is listening to his new song in 2020❤❤❤welcome back
@shakirasuleiman30654 жыл бұрын
😆😆😄😄😁😁😅
@jA-ox7vz4 жыл бұрын
Hap vp wadau Kama upo namimi mwaka huu gonga like yako hapa
@neymankwera24014 жыл бұрын
Bila shaka hapo mwisho wa wimbo amemtakia kila la heri Papii Kocha safi sana Aboubakar Katwila....Kunta...Kinte.
@websterkinte82709 жыл бұрын
Qchifu alikuwa anaumwa!! Ninamkubaliii chakwanza sauti !!ngomakli
@kemydirasjoseph11352 жыл бұрын
ataliiiiiisanaaaaa nyimbo bado kaliiiiiii adi sasa dah q sanaaaa likezako basiii kamabado unaikubali ngomaaaaa i
@batalemustachi67174 жыл бұрын
Kumbe uyu msee alikuw na maringooooo...2020 from Kenya
@sadiqmwero27543 жыл бұрын
2020 bado tuna sikiliza. Ina nikumbusha mbali sana daaaah. Kama ina kukumbusha sehemu tujuana
@vasmotz3 жыл бұрын
Dah haya maisha bana ivi hawa washikaj walipeleka hela wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥💪💪 dah q chilla ulitupa mziki mzuri aseee duh
@hamiskengwa58694 жыл бұрын
2019 anipende kama mimi Awe simple kama mimi 💃🏿💃🏿❤️❤️❤️
@stellabrunner15825 жыл бұрын
This is the true flavor of Tanzanian Music, not what we are hearing nowadays.
@frankmemmanuel4150 Жыл бұрын
Q-Chilla bonge la mtu bwana...😍 Utabaki kua juu, Utabaki kua kileleni big boss. The true meaning of Old is Gold. 💯🔥
@___raahma___4 жыл бұрын
Langu jicho tuu mana imenishika nakumbuka kuleeeeeeee.
@bintialimwahezi51236 жыл бұрын
Old is gold 2019 gonga like kwa wingi
@ronaldomwampamba95775 жыл бұрын
This is the best track EVER out of Tanzania! Love this song!!!!
@AkinyiAdongo12 жыл бұрын
Very true💪🙏🙏
@user-jv8kn5yc4f9 ай бұрын
Miss these days nikiwa mtoro wa madrassa kwenda kuwoch nyimbo za q chief banda la video dah.. Watching it now 2021 🇶🇦
@sturbbornvideoz85473 жыл бұрын
From diamond IG
@ugandakampalatv14973 жыл бұрын
nakumbuka mbali sana jamani huuuuuundio mziki jamani daaaaah tampata wapi aaaaaaah
@hussenally44974 жыл бұрын
Kazi safi bro daily itasikika
@quazarmusic82483 жыл бұрын
Nakutambua kinoma mtu wangu old is gold
@bintimohammedrashidrashid50276 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sanaa hii nyimbo kipindi hicho tunakumbatiwa vichochoroni daaah song za zamani nzuri sanaa zina hisia sanaa
@salmalopesalmalopez61995 жыл бұрын
2020 quarantine mpo gonga like
@georgebruno9163 жыл бұрын
30_6_2020 naangalia nyimbo kipindi inatoka hta nguo za kuvaa zilikua napata kwa shida lakini leo naishi kwenye ndoto zangu
@shabanipili49193 жыл бұрын
Nakumbuka enzi za shule ya msingi. Najisikia machozi yananilenga machoni kila ninapousikia huu wimbo
@elibarikimaganga95715 жыл бұрын
Hii Song ilpotoka nlikua Mdogo sana..Nadhani nilikua kama class 1or 2 hivi..And for Now Nashkuru Mwenyezi Mungu Niko University
@bekkamontana54485 жыл бұрын
Enzi za ujana wetu hakuna mambo yasingeli wal mapiano mziki ulikuwa mtamu sana 2004
@jamalisebarua95947 ай бұрын
2020 am still listening bado yavuma ....nice voice mipangilio bahali yake
@serahkarisa34384 жыл бұрын
Salute na kukubali sana I love All your songs From America
@neemasabuni53984 жыл бұрын
Q -chifu soma hiyo..nampenda Mwenye Afya namwogopa wa Marathi .....hapo me nitatulia 2019 like jmn
@barakachami82185 жыл бұрын
Nipo hhhh
@jamilairakoze66004 жыл бұрын
Naipenda sana watching 08/2019
@mebasheembeto42594 жыл бұрын
Naipenda san
@sashaalimwakudza42174 жыл бұрын
Bro kazi yako naikubali sana Mungu aibariki sauti yako
@honorekiza87626 жыл бұрын
Aminia
@giftytitho12614 жыл бұрын
Nitampt kama Yule hakuna tena😢 love imejaa kila kona warudi tu mond akafie mbli hakun kitu.
@lucylucy73074 жыл бұрын
So much to say..! And yes, I'm here in September 2019!❤
@sandrinekidasharira97134 жыл бұрын
2019 niko hapa kabisa from Burundi (Bujumbura)
@faa2023-ngaragu5 жыл бұрын
Old is gold lovely songs
@sallykanze9 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs uku pia unafika😂😂😂
@saumuhassan13655 жыл бұрын
Very true 2020 bado naitazama
@bladechiko35124 жыл бұрын
Naipenda sana 2018
@Mamsocom6 жыл бұрын
Keep up the good flavors Tanzanians! I just love your music, wish you would come make some performance here in Finland some day. Helsinki has many Swahili speaking people from Africa.
@joekaiga14 жыл бұрын
Ikopoa. Sanaaa
@shamiraramadhan24065 жыл бұрын
⁰⁰00000⁰000
@allymshinyanga25209 ай бұрын
Bado naipenda 11/4/2020
@ramadhanomary13334 жыл бұрын
Kama yule' ni ngumu kumpata, ujumbe mzito sana, i solute you brother ,unakipaji, Big up and keep it up.
@noelaswaytitus497510 жыл бұрын
Q chilla kitambo sanaa
@abuukissoabuuchannel39084 жыл бұрын
nice en a hit from bongo we love bongo en the truck still a hit here back at kenya tucheze cheze kitandani ishara ya mapenzi
@georgekirimi628811 жыл бұрын
hizi ndo ngoma jamaa si kucheza nyegez
@joelchogo50754 жыл бұрын
ni noma sana enzi hizo
@amanimahubane4096 жыл бұрын
Najisikia raha kwa nyimbo za zamani
@nananana48854 жыл бұрын
Kweli Chilla
@eleazerenana78645 жыл бұрын
Fundii...Chiller katika ubora wake...!
@ismailkatala47925 жыл бұрын
Nimpende anipende awe wangu maishani wa 2019 like plz
@chelseadiva10724 жыл бұрын
Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍
@ENTERTAININGGAMECHANNEL4 жыл бұрын
Revisito as musicas do meu tempo e encontro um teor tao profundo do qual nem posso esgotar o seu sentido na minha vida. Amo o passado. uma nastalgia
@manuelafonso90516 жыл бұрын
pamoja q,nice song.
@nurloy5107 жыл бұрын
Who is here in 2019?hivi kweli namimi nitampata kama yule
@Dinosucre105 жыл бұрын
wewe ni mkali daima Q_chilla hata kama now hauko kwa game lakin we still lov yo and all yo songs but please tunaomba uturudishie heshima yetu brother pendanga sana wewe
@davidnchoji8 жыл бұрын
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Wenye sauti zao, c mchezoooo, bado mupyaaaa hakuna kuchuja
@fatmamussa64784 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hzo kila kijana alikua anamuiga q chilla wanafuga Rasta mbaya kitaani kwetu ili waendane namwamba
@hamiskengwa58694 жыл бұрын
moyini nitampokea nayeye anipoke basi kwa hali yeyote this a song takes me far damn those days I use to sing while going home from school
@munirasulub20578 жыл бұрын
Hautampata kama yule...waliisha😂😂😂😂😂😂
@billalphilip57764 жыл бұрын
kweli hizi nyimbo zakutoka zanzibar zinafuraisha
@rutafrank54767 жыл бұрын
best of q chief,wimbo na nusu
@dume41588 жыл бұрын
Such a great song. He really looks like he means what he's saying. Love it;)
@MimiNimimi212 жыл бұрын
My favourite musician 👌
@maurinekemunto16425 жыл бұрын
duh Riyama nimemuonaa
@ibrahimmakame53044 жыл бұрын
wow...nyimbo yanikumbusha mbali....😢😢
@basilalsharif67348 жыл бұрын
ujumbe mzito. itaweza kuskizwa na kizazi kipya na vizazi hata vizazi.
@OdilahPat7 жыл бұрын
Patricia Odila yes throw back
@bizzo68336 жыл бұрын
Nakukubali baba toa Vitu vingine mkubwa
@francoseneil165 жыл бұрын
Weeeeeee rihamaa na huku ulipita my duuuh
@estercharles75974 жыл бұрын
Oohh! Love this song like ....
@shantalismailhassan98785 жыл бұрын
use to love this song so much still love it til now one of all time favourite song
@peterconnor4707 жыл бұрын
I real lyk this song, big up sana Q Chief kwa, the song sounds so beautiful na una ujumbe mzuri sana. Nitampata wapi kama yule? Very hard to get her coz the old z gold, so fantastic song
@saimonsimion72809 жыл бұрын
3/8/2019 bado nasikilza ngoma kalii za longtime
@rashidhassankadege14554 жыл бұрын
Rashid Hassan Kadege like for u are you her like me
@rahmaalkalbani29224 жыл бұрын
Kadenge mimi pia naskiza na wewe safi
@atashaisha87064 жыл бұрын
Wazamani tulifaidi
@magemushi55943 жыл бұрын
Ilov this song so much ,really this is a lovly song,bro keep it up this song hav gud msg for mi too am lukng for who luv as the song says well done bro
@maniernicodemus1109 жыл бұрын
2019 kaka rudisha majeshi
@samirantisi85354 жыл бұрын
still a hit love me some old songs
@nimoibrahim42356 жыл бұрын
Gusa unase
@thomasdevil52174 жыл бұрын
Naitambua hii ngoma ever since shule ya msingi 2018 octbr
@abdijabarshimoyali30495 жыл бұрын
yan q nakupenda nijielewe
@shadiaali13947 жыл бұрын
I love da song...in 2019 na bado
@joanmutheu1884 жыл бұрын
Riama tumetok mbar jmni😍😍
@rosemarybenjamin43336 жыл бұрын
daaaaaa😍😍😍😍😍 Qiuchila 👌👌👌
@rahelmilami12714 жыл бұрын
Qchilla ni handsome sana...😗😗
@mishibaron50214 жыл бұрын
I'm rather disappointed that the song of this quality hasn't been viewed by at least 5 million people. East Africans here we go. Always a big fan Q keep it up bro!
Hadi 2019 bado yavutia tu Rihamma namuona hehe
Rozina Hamisi atamm nimeikubali
ambao tupo 2021 tunasikiliza like hapa tujuane
Bado sijashiba kusikiliza huyu wimbo kbsaaa,,kama is the same na wew gonga like
Nani yupo hapa 2021, one of my fav love songs 💗💯✌
2019 kuelekea 2020 mpo
Riyama alikuwa video vixen wa q chiller wow
Inasikirizwa kutoka oman now 2021 🔥🔥❤❤❤ old is gold
Naisikilza mara nyingi lakini leo ndo nimejua kama video queen wa hii nyimbo alkiuwa Riyama😂...who else?
Hahaha 😂 😂🤣🤣😂 kweli
Kam mimi
Wewe km mm
😅😅
🙀🙀🤣🤣🤣🤣🤣
Good music not just music here is where good music lives💪✊🙏
Wakati bado kuna mziki mzuri dah 😘😘😘😘😘
wallah song zazamani zilikuwa nzuri sana na enjoy ila sasa ni fujo tu
Zenab Sadik 😂😂😂😂😂
Zenab Sadik siku hizi ubisho
Zenab Sadik kwel
Who is listening to his new song in 2020❤❤❤welcome back
😆😆😄😄😁😁😅
Hap vp wadau Kama upo namimi mwaka huu gonga like yako hapa
Bila shaka hapo mwisho wa wimbo amemtakia kila la heri Papii Kocha safi sana Aboubakar Katwila....Kunta...Kinte.
Qchifu alikuwa anaumwa!! Ninamkubaliii chakwanza sauti !!ngomakli
ataliiiiiisanaaaaa nyimbo bado kaliiiiiii adi sasa dah q sanaaaa likezako basiii kamabado unaikubali ngomaaaaa i
Kumbe uyu msee alikuw na maringooooo...2020 from Kenya
2020 bado tuna sikiliza. Ina nikumbusha mbali sana daaaah. Kama ina kukumbusha sehemu tujuana
Dah haya maisha bana ivi hawa washikaj walipeleka hela wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥💪💪 dah q chilla ulitupa mziki mzuri aseee duh
2019 anipende kama mimi Awe simple kama mimi 💃🏿💃🏿❤️❤️❤️
This is the true flavor of Tanzanian Music, not what we are hearing nowadays.
Q-Chilla bonge la mtu bwana...😍 Utabaki kua juu, Utabaki kua kileleni big boss. The true meaning of Old is Gold. 💯🔥
Langu jicho tuu mana imenishika nakumbuka kuleeeeeeee.
Old is gold 2019 gonga like kwa wingi
This is the best track EVER out of Tanzania! Love this song!!!!
Very true💪🙏🙏
Miss these days nikiwa mtoro wa madrassa kwenda kuwoch nyimbo za q chief banda la video dah.. Watching it now 2021 🇶🇦
From diamond IG
nakumbuka mbali sana jamani huuuuuundio mziki jamani daaaaah tampata wapi aaaaaaah
Kazi safi bro daily itasikika
Nakutambua kinoma mtu wangu old is gold
Nakumbuka mbali sanaa hii nyimbo kipindi hicho tunakumbatiwa vichochoroni daaah song za zamani nzuri sanaa zina hisia sanaa
2020 quarantine mpo gonga like
30_6_2020 naangalia nyimbo kipindi inatoka hta nguo za kuvaa zilikua napata kwa shida lakini leo naishi kwenye ndoto zangu
Nakumbuka enzi za shule ya msingi. Najisikia machozi yananilenga machoni kila ninapousikia huu wimbo
Hii Song ilpotoka nlikua Mdogo sana..Nadhani nilikua kama class 1or 2 hivi..And for Now Nashkuru Mwenyezi Mungu Niko University
Enzi za ujana wetu hakuna mambo yasingeli wal mapiano mziki ulikuwa mtamu sana 2004
2020 am still listening bado yavuma ....nice voice mipangilio bahali yake
Salute na kukubali sana I love All your songs From America
Q -chifu soma hiyo..nampenda Mwenye Afya namwogopa wa Marathi .....hapo me nitatulia 2019 like jmn
Nipo hhhh
Naipenda sana watching 08/2019
Naipenda san
Bro kazi yako naikubali sana Mungu aibariki sauti yako
Aminia
Nitampt kama Yule hakuna tena😢 love imejaa kila kona warudi tu mond akafie mbli hakun kitu.
So much to say..! And yes, I'm here in September 2019!❤
2019 niko hapa kabisa from Burundi (Bujumbura)
Old is gold lovely songs
Jefason Kingy Mrs uku pia unafika😂😂😂
Very true 2020 bado naitazama
Naipenda sana 2018
Keep up the good flavors Tanzanians! I just love your music, wish you would come make some performance here in Finland some day. Helsinki has many Swahili speaking people from Africa.
Ikopoa. Sanaaa
⁰⁰00000⁰000
Bado naipenda 11/4/2020
Kama yule' ni ngumu kumpata, ujumbe mzito sana, i solute you brother ,unakipaji, Big up and keep it up.
Q chilla kitambo sanaa
nice en a hit from bongo we love bongo en the truck still a hit here back at kenya tucheze cheze kitandani ishara ya mapenzi
hizi ndo ngoma jamaa si kucheza nyegez
ni noma sana enzi hizo
Najisikia raha kwa nyimbo za zamani
Kweli Chilla
Fundii...Chiller katika ubora wake...!
Nimpende anipende awe wangu maishani wa 2019 like plz
Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍
Revisito as musicas do meu tempo e encontro um teor tao profundo do qual nem posso esgotar o seu sentido na minha vida. Amo o passado. uma nastalgia
pamoja q,nice song.
Who is here in 2019?hivi kweli namimi nitampata kama yule
wewe ni mkali daima Q_chilla hata kama now hauko kwa game lakin we still lov yo and all yo songs but please tunaomba uturudishie heshima yetu brother pendanga sana wewe
Zilizopendwa oyeeeeeeeeeeee
Wenye sauti zao, c mchezoooo, bado mupyaaaa hakuna kuchuja
Nakumbuka enzi hzo kila kijana alikua anamuiga q chilla wanafuga Rasta mbaya kitaani kwetu ili waendane namwamba
moyini nitampokea nayeye anipoke basi kwa hali yeyote this a song takes me far damn those days I use to sing while going home from school
Hautampata kama yule...waliisha😂😂😂😂😂😂
kweli hizi nyimbo zakutoka zanzibar zinafuraisha
best of q chief,wimbo na nusu
Such a great song. He really looks like he means what he's saying. Love it;)
My favourite musician 👌
duh Riyama nimemuonaa
wow...nyimbo yanikumbusha mbali....😢😢
ujumbe mzito. itaweza kuskizwa na kizazi kipya na vizazi hata vizazi.
Patricia Odila yes throw back
Nakukubali baba toa Vitu vingine mkubwa
Weeeeeee rihamaa na huku ulipita my duuuh
Oohh! Love this song like ....
use to love this song so much still love it til now one of all time favourite song
I real lyk this song, big up sana Q Chief kwa, the song sounds so beautiful na una ujumbe mzuri sana. Nitampata wapi kama yule? Very hard to get her coz the old z gold, so fantastic song
3/8/2019 bado nasikilza ngoma kalii za longtime
Rashid Hassan Kadege like for u are you her like me
Kadenge mimi pia naskiza na wewe safi
Wazamani tulifaidi
Ilov this song so much ,really this is a lovly song,bro keep it up this song hav gud msg for mi too am lukng for who luv as the song says well done bro
2019 kaka rudisha majeshi
still a hit love me some old songs
Gusa unase
Naitambua hii ngoma ever since shule ya msingi 2018 octbr
yan q nakupenda nijielewe
I love da song...in 2019 na bado
Riama tumetok mbar jmni😍😍
daaaaaa😍😍😍😍😍 Qiuchila 👌👌👌
Qchilla ni handsome sana...😗😗
I'm rather disappointed that the song of this quality hasn't been viewed by at least 5 million people. East Africans here we go. Always a big fan Q keep it up bro!
Old id Gold, tam haiishi hamu
Yakale is gold alwasy real goga like twede sawa
Come back again Q-Chief,we still love you
huyu ndo q chillah
GOOD MUSIC FROM TANZANIA
Mashallah ume jua kuimba
Bahipenda Sana Hii Ngoma Jamani
Hapo sasa
Tamu sana
Riyama alikua bikra😄😄